Top 44 Apps Similar to English Swahili Dictionary
Tenzi Za Rohoni-Toleo jipya 2 . 0 . 7
Tenzi za Rohoni ni programu inayojumuisha mkusanyiko wanyimbo161kutoka katika kitabu cha Tenzi Za Rohoni kwa lughayaKiswahili.Programu hii imeandaliwa kukuwezesha kumwamudu Mungukwanjia yauimbaji mahali popote na muda wowote. Sifa za programnikamazifuatazo:- • Inahusisha eneo la utafutaji ambapounawezakutafutawimbo kwa namba au kwa neno unalokumbuka liwe jinala wimbokwaKiswahili, kwa kiingereza au maneno yaliyo ndani yawimbo.•Inakuwezesha kuweka nyimbo unazozipenda katika orodhatofautinahivyo kuupata kwa urahisi wakati mwingine, piaunawezakuuondoapale unapoona inafaa. • Inakuwezesha kufuatiliawimbo kwanjia yaala za sauti (thanks to hymnserve.com fortheaccompaniments). •Inakuwezesha kucheza ala hata ukiwa haupokwenyeprogramu •Inakuwezesha kuona wimbo unaocheza ala ukiwakwenyenyimbo zingine.• Inakuwezesha kuona wimbo uliofungua mara yamwishokwa kuuangaza.• Inakuwezesha kukuza ukubwa wa maandishi wamanenoya wimbo kadriunavyoona inafaa. • Inakuwezesha kushirikimaneno yawimbo na ndugujamaa na marafiki kwa urahisi. •Inakuwezeshakubadili muonekano waprogramu unaofaa katika mazingiraya Mwanga auGiza ili kuwezeshauono usioumiza macho. Programu hiiimeandaliwa nakutengenezwa naJustin Bulenga Diva na Godfrey Divakwa utukufu waMungu.
Kinga ya Muislamu 1.0
بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمن الرَّحيم Kwa Jina LaMwenyeziMunguMwingi Wa Rehema (Duniani) Mwenye Kurehemu(Akhera) UTANGULIZI Hakika sifa njema zote ni za MwenyeziMungu,tunamsifu,tunamuomba msaada na tunamuomba maghfirah,tunamuombaAtuhifadhi nashari za nafsi zetu, na maovu ya matendoyetu.AnayemuongozaMwenyezi Mungu hapana wa kumpoteza, naAnayempoteza,hapana wa wakumuongoza. Nakiri kwamba, hapanaapasayekuabudiwa ilaMwenyezi Mungu, hali ya kuwa peke Yake, hanamshirika,naninakiri kwamba Muhammad ni mjaWake naniMtume Wake. Mwenyezi Mungu Amrehemu na Awarehemujamaa zakenaMaswahaba zake na wanaowafuata hao kwa wemampaka sikuyamalipo na Amsalimishe kwa amani nyingi. Baada yayaliyotanguliahuuni ufupi (Mukhtasar) wa kitabu kiitwacho “HISWNAL-MUSLIMMINADHKAAR AL-KITAAB WA SUNNAH” Ninamuomba Mwenyezi MungukwamajinaYake mazuri, na sifa Zake zilizo juu, Ajaaliye kazihiikuwa,imesafika lengo lake, kwa kutaka radhi zakeMwenyeziMunguMtukufu, na Aninufaishe kwa hayo katika uhai wanguhuu, nabaada yakufa, na Amnufaishe atakayekisoma, kukichapisha,aualiyekuwa nisababu ya kukitawanya, hakika Yeye MwenyeziMunguNdiye Muweza. Mwenyezi Mungu Amrehemu MtumewetuMuhammad صلىالله عليه وسلم na Aali zake na Maswahaba wakenawanaowafuatahao, kwa wema mpaka siku ya malipo.