hourglass_full Your download should start automatically in a few seconds...

Download Muislamu Blog_Latest Version.apk from Apk-Dl Server

Thank you for using Apk-Dl.com to download the apk file (Muislamu Blog_Latest Version.apk),

If the download doesn't start automatically in a few seconds, please click here to access the download URL directly.

Note: Download and save the apk file to your Android Phone's SD card and install it manually onto the Android device.

Description

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَنِ الرَّحِيمِ Ndugu, Waislamu,AssalamAlaykum wa Rahmatullahi wa Barakatuh Kwanza kabisa hatunabudikumshukuru Allah (Subhanahu wata'ala) kwa neema Zakezotealizoturuzuku na kutujaalia kuwa miongoni mwa walioikubali hakinakuifuata. Pia tunamtakia Rehma na Amani Mtume wetu Muhammad(rehemana amani za Allah zimshukie) kipenzi chetu Al- Mustafaaliyeteuliwakuwa Mjumbe, Muonyaji na Mtoa bishara na Rehma kwaviumbe vyoteulimwenguni. Yeye ametumwa na muongozo wa Kitabu chaQuran namafundisho ya Sunna zake. Na kwa hakika bila ya muongozohuutungekuwamo katika kiza totoro na maangamio makubwa. Madhumuniyetumakubwa ni kuhabarisha (news) na kukumbusha(mawaidha,nasiha,maswali na majibu n.k) kuhusu mfumo wa Kiislamu.sisi tunaosimamiamtandao huu tunakusudia kujadili na kuchambuafikra, qadhia namatokeo mbali mbali ya uchumi, jamii nk. Nakuyatolea ufafanuzi kwamujibu wa mfumo wetu mtukufu wa Kiislamu.Kwa hivyo, tunapendakuwakaribisha na kuwaalika Waislamu wote katikamtandao huu ilikushirikiana nasi kwa kutoa michango yao ya fikra namaoni katikakujadili, kusoma na kuusambaza mtandao huu kwa kilawanaemjua ilikuasisi majadiliano kwa nia safi kwa lengo la kukuzaufahamu waWaislamu. Tunamuomba Allaah atupe tawfiq katika kazi yakehii naatuzidishie ufahamu na upambanuzi wa haki katika kuelezeanakufikisha ujumbe wake huu kwa Waumini wote Inshaallah.TANBIHToviti hii haihusiani na Taasisi yeyote wala kundi/Dhehebulolotetovuti hii inaendeshwa kwa muongozo wa Quran &sunnahutakapoona sehemu yeyote yenye shida usisite kuwasiliananasikupitia email yetu [email protected] Allaah ndie Muwezawayote na Kwake ndio mategemeo yetu. Wasalaam. Ndugu zenukatikaIymaan na Tawhiyd